"Usia" lyrics

"Usia"

Watoto wangu nyie mimi baba yenu
Nina nguvu sana za kuua hata simba
Simba na makali yote
Akimuona tembo anachimba
Ila hainivimbishi kichwa

Nachapa kazi siendekezi majungu
Ridhiki anayegawa ni Mungu
Eti niende kwa mganga piga nyungu
Nimroge fulani awe pungua

Mungu akikupa kilema lazima atakupa na mwendo
Lipiza mabaya kwa wema kula maisha bila upendo

Kumdharau usiyemjua ni dhambi, dhambi
Mtangulize Mungu na dua popote kambi, kambi

Yeah this life is a gamble
Basi jitahidi kuwa humble
Usimdharau mama wa kambo
Huenda alisha kusifu kitambo

Ni usia (Huu ni usia, usia wa tembo)
Hii dunia tunapita (Huu ni usia, usia wa tembo)
Usiendekeze vita (Huu ni usia, usia wa tembo)
Usijione special special (Huu ni usia, usia wa tembo)
Ju hauijui kesho kesho kesho

Ukikosa elimu bora sio mwisho wa maisha yako
Na kuishi chini ya dola
Wala hailkuwa matakwa yako
Cha mtu ni mavi
Achana nacho tafuta chako hata kichelewe
Uwe na meza ama jamvi ridhika na ulichonacho
Omba kwa Mungu upewe

Kingi, usijione queen ama kingi
Nakujisifu akili nyingi
Kisa unamiliki shilingi, shilingi
Mmmh punguza idadi ya maadui
Maana atakaye kuzika humjui
Mwambieni huyo kaka anajiita chui
Aache kudandia bifu chanzo hukijui

Kumdharau usiyemjua ni dhambi, dhambi
Mtangulize Mungu na dua popote kambi, kambi

Yeah this life is a gamble
Basi jitahidi kuwa humble
Usimdharau mama wa kambo
Huenda alisha kusifu kitambo

Ni usia (Huu ni usia, usia wa tembo)
Hii dunia tunapita (Huu ni usia, usia wa tembo)
Usiendekeze vita (Huu ni usia, usia wa tembo)
Hakuna haja kuduniashiana misuli (Huu ni usia, usia wa tembo)
Dunia hakuna anayeijua vizuri
Zaidi ya Mungu baba, Mungu baba baba
Usia wa Tembo, Konde boy


Writer(s): Rajab Kahali
You May Also Like
Nyashinski - "Serious" One more time, one last time yeah One more time, yeah I don't need no temporary love Playing with my emotions, don't you dare Don't look into my eyes and say you love me Nataka devotion and love...
Mohombi - "Just Like That" Remember when I met her Just like that We became lovers Just like that We meant to be forever Just like that I woke up without you Life became harder Just like that Nights became longer Just like...
Fally Ipupa, Flavour & Diamond Platnumz - "Berna Reloaded" Wasafi (Masta) Berna, Berna (Original Mr Flavour) Berna baby see as you fine o Berna baby see as you fresh o Na only monkey go say you no fine Berna Fire baby buru bia le eh Kirikata kirikata mama...
Patoranking - "I'm In Love" This love dey make me sha manya Omalicha baby nmarama Even when my brain just dey tanana Only you baby na e dey my corner Jando yeah Oh lawd This is for my baby You see this gyal yeah na God give am...
Rayvanny - "Wanaweweseka" Wenye wivu wasijinyonge Ila wapigwe shoti wafe King'asti wangu yupo hapa hapa Usinishike bega niache Nakupa yote mung'unya utamu wa pipi mate Babe kwa mapenzi uko chuo Hauko tena kindergarten Marashi...