"Usia" lyrics
"Usia"
Watoto wangu nyie mimi baba yenu
Nina nguvu sana za kuua hata simba
Simba na makali yote
Akimuona tembo anachimba
Ila hainivimbishi kichwa
Nachapa kazi siendekezi majungu
Ridhiki anayegawa ni Mungu
Eti niende kwa mganga piga nyungu
Nimroge fulani awe pungua
Mungu akikupa kilema lazima atakupa na mwendo
Lipiza mabaya kwa wema kula maisha bila upendo
Kumdharau usiyemjua ni dhambi, dhambi
Mtangulize Mungu na dua popote kambi, kambi
Yeah this life is a gamble
Basi jitahidi kuwa humble
Usimdharau mama wa kambo
Huenda alisha kusifu kitambo
Ni usia (Huu ni usia, usia wa tembo)
Hii dunia tunapita (Huu ni usia, usia wa tembo)
Usiendekeze vita (Huu ni usia, usia wa tembo)
Usijione special special (Huu ni usia, usia wa tembo)
Ju hauijui kesho kesho kesho
Ukikosa elimu bora sio mwisho wa maisha yako
Na kuishi chini ya dola
Wala hailkuwa matakwa yako
Cha mtu ni mavi
Achana nacho tafuta chako hata kichelewe
Uwe na meza ama jamvi ridhika na ulichonacho
Omba kwa Mungu upewe
Kingi, usijione queen ama kingi
Nakujisifu akili nyingi
Kisa unamiliki shilingi, shilingi
Mmmh punguza idadi ya maadui
Maana atakaye kuzika humjui
Mwambieni huyo kaka anajiita chui
Aache kudandia bifu chanzo hukijui
Kumdharau usiyemjua ni dhambi, dhambi
Mtangulize Mungu na dua popote kambi, kambi
Yeah this life is a gamble
Basi jitahidi kuwa humble
Usimdharau mama wa kambo
Huenda alisha kusifu kitambo
Ni usia (Huu ni usia, usia wa tembo)
Hii dunia tunapita (Huu ni usia, usia wa tembo)
Usiendekeze vita (Huu ni usia, usia wa tembo)
Hakuna haja kuduniashiana misuli (Huu ni usia, usia wa tembo)
Dunia hakuna anayeijua vizuri
Zaidi ya Mungu baba, Mungu baba baba
Usia wa Tembo, Konde boy
Writer(s): Rajab Kahali
- AZLyrics
- H
- Harmonize Lyrics
album:
"High School" (2021)
You May Also Like
Nyashinski - "Serious" One more time, one last time yeah
One more time, yeah
I don't need no temporary love
Playing with my emotions, don't you dare
Don't look into my eyes and say you love me
Nataka devotion and love...
Mohombi - "Just Like That" Remember when I met her
Just like that
We became lovers
Just like that
We meant to be forever
Just like that
I woke up without you
Life became harder
Just like that
Nights became longer
Just like...
Patoranking - "I'm In Love" This love dey make me sha manya
Omalicha baby nmarama
Even when my brain just dey tanana
Only you baby na e dey my corner
Jando yeah
Oh lawd
This is for my baby
You see this gyal yeah na God give am...
Rayvanny - "Wanaweweseka" Wenye wivu wasijinyonge
Ila wapigwe shoti wafe
King'asti wangu yupo hapa hapa
Usinishike bega niache
Nakupa yote mung'unya utamu wa pipi mate
Babe kwa mapenzi uko chuo
Hauko tena kindergarten
Marashi...