"Kamaliza" lyrics

"Kamaliza"
(feat. Sholo Mwamba)

Eyoo Kenny
Tito hii hapa sauti ya
Jemedari, kanali amri jeshi mkuu Konde Boy
Now we're back where we belong

Nasema mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile

Mwenzenu pesa kidogo anajiona kamaliza
Eti kisa kasoma ulaya anajiona kamaliza
Mwenzenu Insta ana 10k anajiona kamaliza
Na nywele za kuazima anajiona kamaliza
Na make-up za kuunga unga anajiona kamaliza
Makalio ya kichina anajiona kamaliza
Kisa kibabu kinamhonga anajiona kamaliza
Limama limemweka ndani anajiona kamaliza
Eti kisa ana sumu mpya anajiona kamaliza
Yeye kutwa yupo tungi anajiona kamaliza
Tena anajisifu ukitaniana wakimbiza
Eti kisa ana danga jipya anajiona kamaliza

Nasema mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile (Hana haya)
Mtoto wa nyumba ile
Nyumba ile, nyumba ile

Watoto wa banda, Zuu na kunasia
Kipengo hapa Amri Kuu jeshi
Konde boy

Mama mpeeni mbeleko amlee mwanawe
Nasema mama mpeeni mbeleko amlee mwanawe
Mama mpeeni mbeleko amlee mwanawe
DJ Tito piga magoma tuwarushe masela
Mwanangu Tito piga magoma tuwarushe majita
Ah fanya kama unasusa, we unasusa
Mpaka chini unagusa, we unagusa
Fanya kama unasusa, we unasusa
Mpaka chini unagusa, we unagusa

Eti kisa ye ndo kijumbe, anajiona kamaliza
Dada yenu kachumbiwa anajiona kamaliza
Eti kisa we sungusungu unajiona kamaliza
Eti kisa baba yake kiongozi anajiona kamaliza
Siku hizi anapanda ndege anajiona kamaliza
Zikiisha mto kahamu anajiona kamaliza
(Tito yii)
Utasema hanifahamu anajiona kamaliza
Eti kisa amenizalia anajiona kamaliza
Na mwanenu amepata kazi anajiona kamaliza
Siku hizi masikani hatokei anajiona kamaliza
Na hata simu zangu hapokei anajiona kamaliza

[?]


You May Also Like
Olakira & DaVido - "Maserati (Remix)" Ye, Olakira kirikata, baby Let's hop in my Maserati Baby, hop in my Maserati I say hop in my Maserati Hop in my Maserati Girl, I wanna see you go down yeh Say me I love the way you gbe body Hop in...
Patoranking - "HIGHER" If eno be God Tell me Na where I for dey If eno be God Tell me Na where I for dey Enemies They wan bring me down They can't bring me down Down down down Say na God dey hold me down Oluwa hold me...
Yaba Buluku Boyz & Falz - "Madam De Madam" Yeah Mama dis matter e flexible Which kind of person carry Baka for 10 people Which kind of person carry dis kind type of waist Still fine die so tay, it's not even sensible Me Sef I go show you say...
Fireboy DML - "High On Life" (Ah ah ee, ah ah ouu...) (Ridimacoolayo!) My life is a melody Making money, making love, making memories Blessings follow me One time for the people wey dey always pray for me Love and harmony,...
Adekunle Gold & ODUMODUBLVCK - "Wrong Person" What do they say about me Too much gossiping but they saying nothing Why why I don't take it lightly I just keep the focus on the mouth that I feed Olopa kuro ki nkoja Me I no wan fight but don't...