"Kizaizai" lyrics

"Kizaizai"

Yaananza kama safari
Twende fulani ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponi eeh
Yaananza kama safari
Twende fulani ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponi eeh
Mungu aliumba dunia na maajabu yake
Ya mwenzako sikia omba yasikupate
Eiih! Mungu aliumba dunia na maajabu yake eeh
Ya mwenzako sikia ila yasikupate

Kizaizai
Nyie mapenzi yanauma
Kizaizai
Yanaumiza
Oh kizunguzungu
Kizaizai
Jama mapenzi mabaya
Kizaizai
Waweza gombana na ndugu
Kizaizai
Rafiki akawa mbaya
Kizaizai
Kazi ukaona chugu
Nyie mapenzi karaha

Eh! Sumere wa
Grante grante
Mmmh! Yanayima furaha
Yanakosasha raha
Yanayima furaha
Yanakosasha raha
Tena usiombe kupenda
Ulie mpenda ajue
Tena usiombe kupende
Ulie mpenda ajue
Amani utakosa, karaha jamani
Dunia chungu kufa utatamani
Eiih! Mungu aliumba dunia na maajabu yake
Ya mwenzako sikia omba yasikupate
Eiih! Mungu aliumba dunia na maajabu yake eeh
Ya mwenzako sikia ila yasikupate

Kizaizai
Nyie mapenzi yanauma
Kizaizai
Yanaumiza
Oh kizunguzungu
Kizaizai
Jama mapenzi mabaya
Kizaizai
Waweza gombana na ndugu
Kizaizai
Rafiki akawa mbaya
Kizaizai
Kazi ukaona chugu
Nyie mapenzi karaha

Kizaizai
Baba na mama watake
Kizaizai
Chakula tamuni sumu
Kizaizai
Mashoga sasa wanafiki
Kizaizai
Kulala nanyi ni ngumu
Kizaizai
Eiih! Yanauma
Kizazai
Tena yanauma sana
Kizaizai
Yanauma
Kizaizai
Tena yanauma sana
Kizaizai
Ooh yanauma sana

Ayo! Haa!
And this is hit from Tanzania
Diamond Platnumz baby
In See Records
Holla
Wewe
Kizaizai


Writer(s): Diamond Platnumz
You May Also Like
Kizz Daniel - "Buga (Lo Lo Lo)" Hey! Don't Sleep Don't Sleep Wake up Collect your money Collect your money Wake up, eh! Collect your money Collect your money Wake up Giddem Gbe'ra, gbe'ra Gbe'ra go get that mullah (wake up) Mo ni...
Fally Ipupa - "Canne À Sucre" Queen D Ozo tala n'o trop ngai, o ko kufa miso pamba Kasi tala n'o trop ngai, mais o ko mona eloko te O ko tambola na ngai, mais o ko simba eloko te Loba ngai na linga, loba ngai na lela yo pe Zela...
Ayra Starr - "Bad Vibes" No dey throw bad vibes Where the money dey, that is where I'm at Anyhow e be, I dey play my part Igi gogoro, ma gun mi l'oju, mi o fọ (Mystro Sugar) I let the water touch my mink Can't let these...
Omarion - "Distance" The distance between our bodies Make me feel like I want ya Gyal I feel like I want ya The distance between our bodies Gyal you whine like a warrior Put me gun in your holster Distance between us Oh...
Rayvanny - "Number One" Macho yalikuona, moyo ukakuchagua Mdomo ukasema nakupenda aah Mwambie umepona alokutesa moyo kuusumbua Maumivu yamekwenda Mi ni zawadi nilopewa Macho nipepese wapi Mi kipofu kwako sioni Penzi...