"Kizaizai" lyrics
"Kizaizai"
Yaananza kama safari
Twende fulani ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponi eeh
Yaananza kama safari
Twende fulani ukaone
Kumbe yana nguvu ni hatari
Ukishanasa ndio uponi eeh
Mungu aliumba dunia na maajabu yake
Ya mwenzako sikia omba yasikupate
Eiih! Mungu aliumba dunia na maajabu yake eeh
Ya mwenzako sikia ila yasikupate
Kizaizai
Nyie mapenzi yanauma
Kizaizai
Yanaumiza
Oh kizunguzungu
Kizaizai
Jama mapenzi mabaya
Kizaizai
Waweza gombana na ndugu
Kizaizai
Rafiki akawa mbaya
Kizaizai
Kazi ukaona chugu
Nyie mapenzi karaha
Eh! Sumere wa
Grante grante
Mmmh! Yanayima furaha
Yanakosasha raha
Yanayima furaha
Yanakosasha raha
Tena usiombe kupenda
Ulie mpenda ajue
Tena usiombe kupende
Ulie mpenda ajue
Amani utakosa, karaha jamani
Dunia chungu kufa utatamani
Eiih! Mungu aliumba dunia na maajabu yake
Ya mwenzako sikia omba yasikupate
Eiih! Mungu aliumba dunia na maajabu yake eeh
Ya mwenzako sikia ila yasikupate
Kizaizai
Nyie mapenzi yanauma
Kizaizai
Yanaumiza
Oh kizunguzungu
Kizaizai
Jama mapenzi mabaya
Kizaizai
Waweza gombana na ndugu
Kizaizai
Rafiki akawa mbaya
Kizaizai
Kazi ukaona chugu
Nyie mapenzi karaha
Kizaizai
Baba na mama watake
Kizaizai
Chakula tamuni sumu
Kizaizai
Mashoga sasa wanafiki
Kizaizai
Kulala nanyi ni ngumu
Kizaizai
Eiih! Yanauma
Kizazai
Tena yanauma sana
Kizaizai
Yanauma
Kizaizai
Tena yanauma sana
Kizaizai
Ooh yanauma sana
Ayo! Haa!
And this is hit from Tanzania
Diamond Platnumz baby
In See Records
Holla
Wewe
Kizaizai
Writer(s): Diamond Platnumz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"Lala Salama" (2013)
You May Also Like
Kizz Daniel - "Buga (Lo Lo Lo)" Hey!
Don't Sleep
Don't Sleep
Wake up
Collect your money
Collect your money
Wake up, eh!
Collect your money
Collect your money
Wake up
Giddem
Gbe'ra, gbe'ra
Gbe'ra go get that mullah (wake up)
Mo ni...
Fally Ipupa - "Canne À Sucre" Queen D
Ozo tala n'o trop ngai, o ko kufa miso pamba
Kasi tala n'o trop ngai, mais o ko mona eloko te
O ko tambola na ngai, mais o ko simba eloko te
Loba ngai na linga, loba ngai na lela yo pe
Zela...
Ayra Starr - "Bad Vibes" No dey throw bad vibes
Where the money dey, that is where I'm at
Anyhow e be, I dey play my part
Igi gogoro, ma gun mi l'oju, mi o fọ (Mystro Sugar)
I let the water touch my mink
Can't let these...
Omarion - "Distance" The distance between our bodies
Make me feel like I want ya
Gyal I feel like I want ya
The distance between our bodies
Gyal you whine like a warrior
Put me gun in your holster
Distance between us
Oh...
Rayvanny - "Number One" Macho yalikuona, moyo ukakuchagua
Mdomo ukasema nakupenda aah
Mwambie umepona alokutesa moyo kuusumbua
Maumivu yamekwenda
Mi ni zawadi nilopewa
Macho nipepese wapi
Mi kipofu kwako sioni
Penzi...