"Nimpende Nani?" lyrics
"Nimpende Nani?"
Cha ah!
Nimpende nani?
Nimpende eeeh
Nimpende nani?
Nimpende aaah
Nimpende nani?
Nimpende eeeh
Nimpende nani?
Nimpende aaah
Tai!
We nilikuwaga na mupenzi akanizingua
Hivyo nataka muenzi, wala maradhi naugua
Isije siku miezi, naye akanisumbua
Ikawa tena kitenzi, mzigo kutua
Naogopa sana vichanga wa sasa
Kwenye mapenzi wasije wakanitenda
Nikazama na huku nna mapenzi ya kweli
Wakanicha wakaenda
We si unajua!
Wazuri ni wengi lakini kumpata
Mwenye mapenzi ya ukweli ndio bala
Wengi ni wajanja watoto wa mjini
Wamejawa utapeli, tamaa
Wazuri ni wengi lakini kumpate
Mwenye mapenzi ya ukweli ndio bala
Wengi ni wajanja watoto wa mjini
Nimpende nani?
Cha ah!
Nimpende nani?
Nimpende eeeh
Nimpende nani?
Nimpende aaah
Nimpende nani?
Nimpende eeeh
Nimpende nani?
Nimpende aaah
Yasiwe kama ya Wema Sepetu
Kila siku magazeti
Ajue nidhamu na mila ya kwetu
Mjuzi kupeti-peti
Usimtake ka 'Uwoya nimteme ana hasira
Mpola kama Jokate
Ila sauti ka' Wema akiwa analia
Kicheko kama cha fetty
Naogopa sana vichanga wa sasa
Kwenye mapenzi wasije wakanitenda
Nikazama na huku nna mapenzi ya kweli
Wakanicha wakaenda
We si unajua!
Wazuri ni wengi lakini kumpata
Mwenye mapenzi ya ukweli ndio bala
Wengi ni wajanja watoto wa mjini
Wamejawa utapeli, tamaa
Wazuri ni wengi lakini kumpate
Mwenye mapenzi ya ukweli ndio bala
Wengi ni wajanja watoto wa mjini
Nimpende nani?
Cha ah!
Nimpende nani?
Nimpende eeeh (eh eh eh)
Nimpende nani?
Nimpende aaah (oh nimpende nani?)
Nimpende nani? (mama ma)
Nimpende eeeh (eh eh eh)
Nimpende nani?
Nimpende aaah (mi nimpende nani?)
We nilikuwaga na mupenzi akanizingua
Hivyo nataka muenzi, wala maradhi naugua
We nilikuwaga na mupenzi akanizingua
Hivyo nataka muenzi, wala maradhi naugua
Writer(s): Diamond Platnumz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"Lala Salama" (2013)
You May Also Like
Ayra Starr - "Bad Vibes" No dey throw bad vibes
Where the money dey, that is where I'm at
Anyhow e be, I dey play my part
Igi gogoro, ma gun mi l'oju, mi o fọ (Mystro Sugar)
I let the water touch my mink
Can't let these...
Harmonize - "Wote" Oh oh oh oh oh oh...
B boy
Mwenzako zikianza story za mapenzi
Mfano wakwanza Ni wewe
Hadi marafiki zangu wananicheka
Naukumbuka ushenzi tulofanyaga
Mi nawe mwenzako mi nakuonea vibwenga
Hata...
Boy Spyce & Falz - "ARISE" Oh oyinbo
No use me play Ludo
Where my bronze
Wey you thief from Edo?
My sis and bros
You put for boat to go Europe
Obiageli na him you turn to Nicole
Uhmmm
Make we do am one by one
Starting from the...
Rema - "Charm" London
Another banger
Come here, wetin dey worry you?
Bring body make I rock am, yeah, yeah
I know you senior me
I get money pass your papa
Wetin you want wey I no fit do for you?
Why you wan dey...
DARKOO - "Favourite Girl (Remix)" There's just me and this (Girl)
Hand on my heart, if I be honest (Girl)
She lose control when she feel horny (Girl)
The patrona got me down (Yeah)
You like this high life ting, my love
I love being...