"Moyo Wangu" lyrics
"Moyo Wangu"
Moyo wangu
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
Moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
Moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Upole wangu simanzi eeehee, kwa kukupenda maradhi eeehee
Lakini kupendwaga mi naye bahati huaga sina
Jichoni kwangu kibanzi eeehee, tena nampenda kamanzi
Licha ya kumthamini kama shilingi tatizo hata raha sina
Ufinyu wa mboni zangu unatazama mengi aliyonipa mateso
Tena hata kupenda sina raha, ona nakonda kwa mawazo
Masikini penzi langu Gina nilishakata na kauli roho inatoka kesho
Kutwa nzima mara eeeee mara iiiii hata najuta kupendaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeyeee
Moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeyeee
Moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Mmmmhh tena, kutwa kucha mara ooohhh
Huwezi kosa maneno, ili mradi tu tara tantalila, mmmh sina raha
Wala sina tena mipango, kutwa nzima na mawazo Gina
Mmhhh aaaaaahh ooohh sina raha oo mama
Tamu ya wali ni nazi eeeeee, raha ya supu maandazi eeeeeeee
Raha yangu mi kupendwa tu naye lakini nyota sinaaa
Na napata na radhi eeeeee, nawakufuru wazazi eeeeeee
Kwa kung'ang'ana mi kutaka kuwa naye lakini bahati sinaaa
Masikini roho ingalikuwa ni nguo ningempa avae japo akipita wamsifie
Ila lakini ni kikwazo
Masikini penzi langu Gina nilishakata na kauli roho inatoka
Kesho kutwa nzima mara eeeee mara iiiii hata najuta kupendaaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
Moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
Moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
Moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Moyo wangu, moyo wangu mama eeeeee
Moyo wangu mimi umeniponza mamaaaa
Writer(s): Diamond Platnumz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"Lala Salama" (2013)
You May Also Like
Darassa & Harmonize - "Mazoea" Uh, I'm tryna tell my friend this is different
Kama you got me end of the mission
They say, "stop playing, weh' Mzee
'You going insane?"
Unapewa nini, masikio
You don't listen
(Bomboclaaa-, yeah)...
Rayvanny - "Number One" Macho yalikuona, moyo ukakuchagua
Mdomo ukasema nakupenda aah
Mwambie umepona alokutesa moyo kuusumbua
Maumivu yamekwenda
Mi ni zawadi nilopewa
Macho nipepese wapi
Mi kipofu kwako sioni
Penzi...
Fally Ipupa - "Allo Téléphone" Aigle
Ooh ooh, eeh eeh
Plekes
Les Warriors, toujours d'attaque
Plekes (8 fois)
Ngoya eeeh, ngoya eeeh
Bo kanga misso
Aah cherie, binela ngai na mwa ba fieres
Kisakata, kisema, kiduga, kisakata,...
Smur Lee & ODUMODUBLVCK - "JUJU" They call me Smur Lee (Say, say, Tory, ayy)
Mama, mama sent a photo, photo, photo
Mama, mama sent a photo, photo, photo (Wahala, say, say)
Mama, mama sent a photo, photo, photo (Wahala, say, say)...
Meddy - "Queen Of Sheba" Pretty girl, move your waist (your waist)
Why you all over my head (my head)
I think you the best
Nsekera mwana nkunda ouh la la
Ngaho ngwino unyegere yego sha
Be my queen of sheba, iyele mama
She...