"Lala Salama" lyrics

"Lala Salama"

Lala salama
Matatizo, chuki, lawama

Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Kama ukinikumbuka sana
Nipige simu yangu
Uki! Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Matatizo, chuki, lawama
Vumilia mpenzi wangu

Najua wivu ndio mapenzi
Ila chunga usizidi
Si unajua kwako sijiwezi
Ila dhiki imebidi
Mi nili tamani si ni kuwa nawe
Tuwe wote usiku na mchana
Kilichofanya mi nipagawe
Sina chcochote cha kuwalisha wana
Niliupokea kwaunyonge
Msiba wakaka bona
Ile barua yako wa mwisho
Ilinitonesha vidonda
Usijali, nilai kipenzi changu
Ukazani nimekumbwa, na pepo la starehe
Mambo bado magumu kwangu
Afadhali hata ya jana, ya kesho niombe

Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Kama ukinikumbuka sana
Nipige simu yangu
Uki! Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Matatizo, chuki, lawama
Vumilia mpenzi wangu

Ile 'kuo uone', nilidhani maghorofa
Ah! Kumbe mwana ukome
Hakuna cha kuokota
Mi bado nakaza moyo changu kipenzi
Ilia naumia kwa kuwa mwenyewe
Natamani ila siwezi
Nazitafuta nije kula na wewe
Msalimu mama nyumbani
Usisema kama nahenya
Tai! Mfiche mpe imani
Karibu ntakuo chema
Usijali, nilai kipenzi changu
Ukazani nimekumbwa, na pepo la starehe
Mambo bado magumu kwangu
Afadhali hata ya jana, ya kesho niombe

Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Kama ukinikumbuka sana
Nipige simu yangu
Uki! Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Matatizo, chuki, lawama
Vumilia mpenzi wangu


Writer(s): Misiani
You May Also Like
Fireboy DML - "everyday" Ob' Obah! Wha dem a say? Tell me where you dey Lati satiday I go meet you there 'Cause I miss you every day Call me any day I'll be on my way I'm one call away No matter the situa Girl, I'm not...
Rema - "AZAMAN" Banger Haa! Call aza-man, call aza-man Call aza-man, call aza-man I dey find money like say na Shazam E dey my body, para on, para on Call aza-man, call aza-man Call aza-man, ha-ha, ha-ha Pick up my...
Fally Ipupa - "Allo Téléphone" Aigle Ooh ooh, eeh eeh Plekes Les Warriors, toujours d'attaque Plekes (8 fois) Ngoya eeeh, ngoya eeeh Bo kanga misso Aah cherie, binela ngai na mwa ba fieres Kisakata, kisema, kiduga, kisakata,...
DaVido - "UNAVAILABLE" Baddest You know Eh, eh, eh, eh Tune into the king of sounds and blues Initiating rage process I'm unavailable (Unavailable) Dem no dem see me (Dem no dey see) I'm unavailable (Unavailable) Dem no...
Abigail Chams & Harmonize - "Me Too" Zara Boy pass me the weed, I'm about to say some real shit nigga Bomboclaat I just wanna sing for my baby Abigail Chams again I was tired of "Baby do this for me" Then you came said, "Baby do this...