"Lala Salama" lyrics
"Lala Salama"
Lala salama
Matatizo, chuki, lawama
Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Kama ukinikumbuka sana
Nipige simu yangu
Uki! Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Matatizo, chuki, lawama
Vumilia mpenzi wangu
Najua wivu ndio mapenzi
Ila chunga usizidi
Si unajua kwako sijiwezi
Ila dhiki imebidi
Mi nili tamani si ni kuwa nawe
Tuwe wote usiku na mchana
Kilichofanya mi nipagawe
Sina chcochote cha kuwalisha wana
Niliupokea kwaunyonge
Msiba wakaka bona
Ile barua yako wa mwisho
Ilinitonesha vidonda
Usijali, nilai kipenzi changu
Ukazani nimekumbwa, na pepo la starehe
Mambo bado magumu kwangu
Afadhali hata ya jana, ya kesho niombe
Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Kama ukinikumbuka sana
Nipige simu yangu
Uki! Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Matatizo, chuki, lawama
Vumilia mpenzi wangu
Ile 'kuo uone', nilidhani maghorofa
Ah! Kumbe mwana ukome
Hakuna cha kuokota
Mi bado nakaza moyo changu kipenzi
Ilia naumia kwa kuwa mwenyewe
Natamani ila siwezi
Nazitafuta nije kula na wewe
Msalimu mama nyumbani
Usisema kama nahenya
Tai! Mfiche mpe imani
Karibu ntakuo chema
Usijali, nilai kipenzi changu
Ukazani nimekumbwa, na pepo la starehe
Mambo bado magumu kwangu
Afadhali hata ya jana, ya kesho niombe
Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Kama ukinikumbuka sana
Nipige simu yangu
Uki! Uki la lala salama
Kumbatia picha yangu
Matatizo, chuki, lawama
Vumilia mpenzi wangu
Writer(s): Misiani
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"Lala Salama" (2013)
You May Also Like
Fireboy DML - "everyday" Ob' Obah!
Wha dem a say?
Tell me where you dey
Lati satiday
I go meet you there
'Cause I miss you every day
Call me any day
I'll be on my way
I'm one call away
No matter the situa
Girl, I'm not...
Rema - "AZAMAN" Banger
Haa!
Call aza-man, call aza-man
Call aza-man, call aza-man
I dey find money like say na Shazam
E dey my body, para on, para on
Call aza-man, call aza-man
Call aza-man, ha-ha, ha-ha
Pick up my...
Fally Ipupa - "Allo Téléphone" Aigle
Ooh ooh, eeh eeh
Plekes
Les Warriors, toujours d'attaque
Plekes (8 fois)
Ngoya eeeh, ngoya eeeh
Bo kanga misso
Aah cherie, binela ngai na mwa ba fieres
Kisakata, kisema, kiduga, kisakata,...
DaVido - "UNAVAILABLE" Baddest
You know
Eh, eh, eh, eh
Tune into the king of sounds and blues
Initiating rage process I'm unavailable (Unavailable)
Dem no dem see me (Dem no dey see)
I'm unavailable (Unavailable)
Dem no...
Abigail Chams & Harmonize - "Me Too" Zara Boy pass me the weed, I'm about to say some real shit nigga
Bomboclaat
I just wanna sing for my baby
Abigail Chams again
I was tired of "Baby do this for me"
Then you came said, "Baby do this...