"Mawazo" lyrics
"Mawazo"
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo
Ah sikujua mapenzi balaa, tena ni maradhi ya moyo kupendaga
Tena mapenzi karaha, yanajenga chuki na choyo kwenye cover
Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Uhuni jaa burudani mtaani, akaamua kutimua
Inaniuma sana
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (mhh mawazo)
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo (mmh kikwazo)
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (nipunguze mawazo)
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo (nna mawazo)
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Yule jini kisirani kaingia, kwenye utamu wa penzi langu
Ameleta tafarani naumia, nalia na moyo wangu
Ona jini kisirani kaingia, kwenye utamu wa penzi langu
Ameleta tafarani... mwenzenu nalia na moyo wangu!
Kuwa mimi wivu ninao na roho yangu ninaumia
Kweli wapendanao ndo maadui zikitimia
Lile tinga langu la maraha, leo limekuwa sumu kwangu
Ona tena sina raha, ninacheka nnalia na moyo wangu
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (uhh mawazo)
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo (oh kikwazo)
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (mawazo)
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
Writer(s): Diamond Platnumz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"Lala Salama" (2013)
You May Also Like
Kizz Daniel - "Buga (Lo Lo Lo)" Hey!
Don't Sleep
Don't Sleep
Wake up
Collect your money
Collect your money
Wake up, eh!
Collect your money
Collect your money
Wake up
Giddem
Gbe'ra, gbe'ra
Gbe'ra go get that mullah (wake up)
Mo ni...
Fally Ipupa - "Nourrisson" Pleures, Nourrisson
Maman Sifa Kitenge maman abota
Amedé Ngasaki
Pauline Ngasaki
Na Inness Ndata Ngasaki...
Nakobala yo Amedé
Nalingaka yo
Amadé Ngasaki
Amedé Nourrisson
Nakobala yo Amedé...
DARKOO - "Favourite Girl (Remix)" There's just me and this (Girl)
Hand on my heart, if I be honest (Girl)
She lose control when she feel horny (Girl)
The patrona got me down (Yeah)
You like this high life ting, my love
I love being...
Harmonize - "Leo" Yeah
Mmmmafiaa
Bomboclaaaat
Eeey
Nakumbuka first time when I saw you baby, I been looking to your eyes
Hips don't lie
Age flani imekwenda kidogo
Ila sio sana umri flani mshangazi yeah
I just wanna...
Boy Spyce & Falz - "ARISE" Oh oyinbo
No use me play Ludo
Where my bronze
Wey you thief from Edo?
My sis and bros
You put for boat to go Europe
Obiageli na him you turn to Nicole
Uhmmm
Make we do am one by one
Starting from the...