"Mawazo" lyrics

"Mawazo"

Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo

Ah sikujua mapenzi balaa, tena ni maradhi ya moyo kupendaga
Tena mapenzi karaha, yanajenga chuki na choyo kwenye cover

Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Uhuni jaa burudani mtaani, akaamua kutimua
Inaniuma sana

Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (mhh mawazo)
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo (mmh kikwazo)
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (nipunguze mawazo)
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo (nna mawazo)

Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo

Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo

Yule jini kisirani kaingia, kwenye utamu wa penzi langu
Ameleta tafarani naumia, nalia na moyo wangu
Ona jini kisirani kaingia, kwenye utamu wa penzi langu
Ameleta tafarani... mwenzenu nalia na moyo wangu!

Kuwa mimi wivu ninao na roho yangu ninaumia
Kweli wapendanao ndo maadui zikitimia
Lile tinga langu la maraha, leo limekuwa sumu kwangu
Ona tena sina raha, ninacheka nnalia na moyo wangu

Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (uhh mawazo)
Maana, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo (oh kikwazo)
Ningekuwa na uwezo, ningekunywa hata pombe ili nipunguze mawazo (mawazo)
Mara, Mchana kutwa hata usiku silali, mapenzi kwangu kikwazo

Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo

Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo
Nikikumbukia!
Ubongo unapata mawazo

Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua
Utu wangu na thamani, ina maana kweli hakuvijua
Licha ya burudani, ya mapenzi yangu akatimua


Writer(s): Diamond Platnumz
You May Also Like
Kizz Daniel - "Buga (Lo Lo Lo)" Hey! Don't Sleep Don't Sleep Wake up Collect your money Collect your money Wake up, eh! Collect your money Collect your money Wake up Giddem Gbe'ra, gbe'ra Gbe'ra go get that mullah (wake up) Mo ni...
Fally Ipupa - "Nourrisson" Pleures, Nourrisson Maman Sifa Kitenge maman abota Amedé Ngasaki Pauline Ngasaki Na Inness Ndata Ngasaki... Nakobala yo Amedé Nalingaka yo Amadé Ngasaki Amedé Nourrisson Nakobala yo Amedé...
DARKOO - "Favourite Girl (Remix)" There's just me and this (Girl) Hand on my heart, if I be honest (Girl) She lose control when she feel horny (Girl) The patrona got me down (Yeah) You like this high life ting, my love I love being...
Harmonize - "Leo" Yeah Mmmmafiaa Bomboclaaaat Eeey Nakumbuka first time when I saw you baby, I been looking to your eyes Hips don't lie Age flani imekwenda kidogo Ila sio sana umri flani mshangazi yeah I just wanna...
Boy Spyce & Falz - "ARISE" Oh oyinbo No use me play Ludo Where my bronze Wey you thief from Edo? My sis and bros You put for boat to go Europe Obiageli na him you turn to Nicole Uhmmm Make we do am one by one Starting from the...