"Binadamu" lyrics

"Binadamu"

Ayo
Ha ha
Yo, I'm back, Bob Junior, I'm back
Acha vita ianze
Wamechelewa

Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
(Wabaya...)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya
(Mbaya...)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola
Naomba nilinde niwe na upendo wa dhati wote niishi nao sawa

Nilipouanza mziki
Mbali na dhiki
Nimekutana na matatizo sana
Sikuwa rafiki
Sithaminiki
Bado kidogo mie tu nikate tamaa
Wangu moyo
Ulivumilia dharau na masimango mi
Mi wangu moyo
Ulivumilia utumwa na manyanyaso di
Yaani nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Moyoni najipa moyo kesho nitakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia
Ile nahangaika usiku kucha naambulia patupu
Nilikuwa naumia
Najipa moyo kesho nitakuwa maarufu
Mwisho wa siku nafulia...

Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
(Wabaya...)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya
(Mbaya...)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola
Naomba nilinde niwe na upendo wa dhati wote niishi nao sawa

Kidogo nakula na mama yangu
Siwezi kuwasahau na ndugu zangu
Upendo popote alipo kwa baba yangu
Japo alinikataa
Ah, bata nakulaga mi na rafiki zangu
Tunacheza Reggae na masikini mwenzangu
Alazwe pepa peponi na bibi yangu
Mjukuu wake Sanana
Sababu ya ugumu wa maisha
Na maumivu ya mapenzi nikaandika "Kamwambie"
Ndo hapo hustle zikaisha
Kabariki Mwenyezi watanzinia wanizimie
Asa hivi kwenye tamasha tu likitajwa jina watu wanashangilia
Wengine furaha inazidi kina hadi kabisa wanalia
Asa hivi kwenye tamasha yaani ikitajwa jina watu wanashangilia
Wengine furaha inazidi kina hadi kabisa wanalia...

Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
(Wabaya...)
Ndugu, rafiki, nani ana roho safi, nani ana roho mbaya
(Mbaya...)
Ni we pekee unaejua wangapi binadamu wabaya
Mola
Naomba nilinde niwe na upendo wa dhati wote niishi nao sawa

Eiih
Tena wabaya sana
Ooh, wanakatisha tamaa
Eiih
Ooh, wabaya...
Tena wabaya
Ooh, ah
Sana
Wabaya sana
Wabaya sana
Mmmh, wabaya sana


Writer(s): Naseeb Abdul Juma Issack
You May Also Like
King Promise - "Terminator" Killbeatz, let's go Oh, ah-ah, oh-ah-nah, oh-ah, nana Oh-ooh-oh Oh, ah-ah, oh-ah-nah, oh-ah, ah-ah Yeah I'm at a point in life, if you understand me or not Misunderstand me or not Me, I'm okay, I'm...
DaVido - "UNAVAILABLE" Baddest You know Eh, eh, eh, eh Tune into the king of sounds and blues Initiating rage process I'm unavailable (Unavailable) Dem no dem see me (Dem no dey see) I'm unavailable (Unavailable) Dem no...
DARKOO - "Favourite Girl (Remix)" There's just me and this (Girl) Hand on my heart, if I be honest (Girl) She lose control when she feel horny (Girl) The patrona got me down (Yeah) You like this high life ting, my love I love being...
Fally Ipupa - "A Flyé" Moto oyo ba lingaka mingi na bolingo pé akoki Ko changer avis akoma na yé rebelle loin de l'amour A flyé, a s'envoler n'é loin de l'amour, Adolphe Muteba Distance ya cinq mètres ekoki ko koma milles...
WizKid - "Kese (Dance)" Dance (Gbedu) Chale make we dance (Gbedu) Make ya dance (Gbedu) And the music e de play (Gbedu) Omo say we go dance (Gbedu) Chale make we dance (Gbedu) We go dance (Gbedu) We go dance For the vibe I...