"Nalia Na Mengi" lyrics
"Nalia Na Mengi"
(feat. Chid Benz)
Mi niliambiwa mapenzi ni kama bahari
Ukishazama ndo basi umepotea
Kumbe mwenzangu alikuwa anatamani
Badala ya kuzama mi kwangu akaelea
Akawa ananidanganya
Nikiwa nadhani ananipenda sana
Mikwanja nikamwaga mama
Japo sio kivile la kuongea maana
Akawa ananidanganya
Nikiwa nadhani ananipenda sana
Mbona mifedha nikamwaga mama
Japo sio kivile ila hakuongea maana
Wakaja wajinga wakamchukua
Waka-muhongahonga mwisho wakamnunua
Wajinga wakamchukua
Waka-muhongahonga mwisho wakamnunua, ayayaya...
Usinione nalia (rrah)
Usinione nalia (rrah)
Mwenzenu nalia na mengi
Usinione nalia (rrah)
Naila... (rrah)
Sababu ya mapenzi
Usinione nalia (rrah)
Nalia... (rrah)
Nalia na mengi
Ooh, jamani nalia (rrah)
Nalia... (rrah)
Sababu ya mapenzi
Najua alimaanisha kuwa simfai
Ila lakini angesema
Kuliko alichofanya mi akantoa nishai
Akanimeza akanitema
Nyie mapenzi yanauma vibaya
Vibaya, vibaya
Mmmh, mapenzi yanauma vibaya
Vibaya, vibaya...
Ile gafra safari
Ndio inanifanya na usingizi sipati
Huwa nakumbuka mbali
Hasa nikisikia harufu yake ya marashi
Mi kwa chungu nilivyoumia
Nikaandika hili song la mwondoko nalia
Na voko nikaingiza kwa hisia na imani
Ipo siku nyimbo itamfika
Mi kwa uchungu nilivyoumia mie
Nikaandika song la mwondoko nalia
Na voko nikaingiza kwa hisia na imani
Ipo siku nyimbo itamfikia, ayayaya...
Usinione nalia (rrah)
Usinione nalia (rrah)
Mwenzenu nalia na mengi
Usinione nalia (rrah)
Naila... (rrah)
Sababu ya mapenzi
Usinione nalia (rrah)
Nalia... (rrah)
Nalia na mengi (ye, yeah)
Ooh, jamani nalia (ye, ye)
Nalia... (rrah)
Sababu ya mapenzi
Usinione nakosa raha mama na lala ma kwako mara kadhaa
We ni msaada kwenye tuta so ukichomoka balaa
Sijiwezi kwangu giza naweza kimbiza na hii taa
Na hilo unajua inavyoumiza ushashuhudia mara kadhaa
Nwenu wezi wakung'ang'anie ninung'unike nilie
Nija yetu mmoja niache nipite si ukasimulie
Mama ya kinyamwezi na swaga zako juu
Na miguu napata picha kitandani kungfu
Uko juu ukipita lazima wasome namba
We ndo mfano hata unajua neno pamba sifaa
Kwa kitambo ntakulinda kama mkinga mwenye shamba
Mikogo kila leo ntajigamba
Nusonge kisela piga teke inauma
Usiombe mapenzi yakupige teke inauma
Usiombe mapenzi yakupige teke, eh
Bounce
Usinione nalia (rrah)
Usinione nalia (rrah)
Mwenzenu nalia na mengi
Usinione nalia (rrah)
Naila... (rrah)
Sababu ya mapenzi
Usinione nalia (rrah)
Nalia... (rrah)
Nalia na mengi
Ooh, jamani nalia (rrah)
Nalia... (rrah)
Sababu ya mapenzi
Ah ah ah ah ah ah ah
Ah
Ah
Oh oh oh oh oh oh oh
Oh
Oh
Ah ah ah ah ah ah ah
Ah
Ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah
Ji ji ji ji ji ji ji ji ji ji ji ji ji ji ji ji
Writer(s): Naseeb Abdul Juma Issack, Chidi Benz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"Kamwambie" (2013)
You May Also Like
Meddy - "Queen Of Sheba" Pretty girl, move your waist (your waist)
Why you all over my head (my head)
I think you the best
Nsekera mwana nkunda ouh la la
Ngaho ngwino unyegere yego sha
Be my queen of sheba, iyele mama
She...
Tayc - "D O N N E L E M O I" Ooh, woo, ooh, yeah, yeah
Yeah
Ooh, ooh-ooh, nana
Ooh, ooh, ah, oh, yeah, yeah
Yeah, Tayc de Tayc
Yeah, yeah, yeah, yeah
J'me suis réveillé très tôt, yeah
Ce matin j'suis debout vraiment très tôt,...
Rayvanny - "Baila" (Sound boy)
My geneviv, my coconut from Brazil, yeah
I used to dream about you now everything is real, yeah
You cool my temper, baby, every time we chill
Girl you are poison, poison, umenimurder...
Harmonize - "Teacher" Yah yah
Ah ha ha ha ha, Jeshi
(Imma in the beat)
Wakati wanahanya kugombea kiti
Wanadanganyana na viewers wa ku-cheat
Mie jicho lipo nyanya nilishakula kijiti
Na magoma yakipigwa huko club mtiti...
Jux & Gyakie - "I Love You" Fox made it
Eeeyiiiiii Nooooo
Gyakie anha
Cha ajabu unishikii
Unigusii
Ila moyo wangu, Nyang'anyang'a. (Wala)
Mwili wangu hauvutwii
Haupigwii
Tatizo moyo wangu, Unashindwa pambana. (Sababu ya penzi...