"Nenda Kamwambie" lyrics
"Nenda Kamwambie"
Nenda kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
Nasema kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
So ningeamuru nyota na mbalamwezi
Viwe mali yake yeye
Natamani ila tatizo siwezi
Huenda ingefanya anielewe
Ah ona, si alinifunza mapenzi
Nlikuwa sijui kamwambie
Akanidekeza kishenzi
Kwa nyimbo nzuri nimuimbie
So asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia
Akalishusha thamani penzi nalompenda kisa mvinyo na bia
Asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia mmh
Mwambie asisikie mapenzi, moyo wangu unaumia
Ee yeah
Nenda kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
Nasema kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
Nasema siku hizi wala hakuna fungate
Mapenzi hayana thamani
Hivyo mwambie wanaopenda wachache
Wengi wanatamani
Uuh wanaanzaga kwa tafadhali, wakishapewa wanapotea
Nenda mwambie ajihadhari na dua njema namuombea
So asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia
Akalishusha thamani penzi nalompenda kisa mvinyo na bia
Asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia mmh
Mwambie asisikie mapenzi, moyo wangu unaumia
Ee yeah
Kamwambie, kamwambie
Kamwambie, kamwambie
Kamwambie, kamwambie
Kamwambie, kamwambie
Nenda kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
Nasema kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"Kamwambie" (2013)
You May Also Like
Sauti Sol - "Sura Yako" Nimekuchagua wewe, nikupende
Mama, sitaki mwingine
Aushi usiniache, usinitende
Mama, usipende mwingine
Moyo wangu ni mwepesi
Umenikalia chapati
Nafanya vituko kama chizi
Kukupenda sitasizi
Moyo wangu...
Rema - "Charm" London
Another banger
Come here, wetin dey worry you?
Bring body make I rock am, yeah, yeah
I know you senior me
I get money pass your papa
Wetin you want wey I no fit do for you?
Why you wan dey...
Fally Ipupa - "Juste Une Danse" El Mara !
Elle est là, elle est là
Dis-moi ma belle
Dis-moi ma belle si tu es bien réelle (réelle)
Jusqu'à présent faut dire qu'tu manquais à l'appel
Désormais j'ai juré, je t'ai bien repéré
Pardon...
Rema - "YAYO" P
Anoti, anoti, anoti
Forget, forget fugazi
Land for Pinnock, cost me a Richard Millie
That same week, I cop me a new car key
All the gyal dem love oh, what a feeling
I am shining, neck and my wrist...
Fally Ipupa - "Sweet Life" Na tongo tangu na lamukaka nga na ke mosala (Dodo)
Na midi tangu na niokwamaka na mosala (yo dodo)
Ata na pokwa tango na zongaka ndako, yo olali (yo dodo)
Mais olingi osala fête lokola nga
Hustling,...