"Nenda Kamwambie" lyrics

"Nenda Kamwambie"

Nenda kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
Nasema kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi

So ningeamuru nyota na mbalamwezi
Viwe mali yake yeye
Natamani ila tatizo siwezi
Huenda ingefanya anielewe
Ah ona, si alinifunza mapenzi
Nlikuwa sijui kamwambie
Akanidekeza kishenzi
Kwa nyimbo nzuri nimuimbie

So asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia
Akalishusha thamani penzi nalompenda kisa mvinyo na bia
Asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia mmh
Mwambie asisikie mapenzi, moyo wangu unaumia
Ee yeah

Nenda kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
Nasema kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi

Nasema siku hizi wala hakuna fungate
Mapenzi hayana thamani
Hivyo mwambie wanaopenda wachache
Wengi wanatamani
Uuh wanaanzaga kwa tafadhali, wakishapewa wanapotea
Nenda mwambie ajihadhari na dua njema namuombea

So asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia
Akalishusha thamani penzi nalompenda kisa mvinyo na bia
Asidanganywe na gari, burudani na fedha mimi akanichukia mmh
Mwambie asisikie mapenzi, moyo wangu unaumia
Ee yeah

Kamwambie, kamwambie
Kamwambie, kamwambie
Kamwambie, kamwambie
Kamwambie, kamwambie

Nenda kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi
Nasema kamwambie, aa haa jinsi navyompenda mi aa haa
Na kama mapenzi bado, aa haa, mwambie ntayaongeza mi


You May Also Like
Sauti Sol - "Sura Yako" Nimekuchagua wewe, nikupende Mama, sitaki mwingine Aushi usiniache, usinitende Mama, usipende mwingine Moyo wangu ni mwepesi Umenikalia chapati Nafanya vituko kama chizi Kukupenda sitasizi Moyo wangu...
Rema - "Charm" London Another banger Come here, wetin dey worry you? Bring body make I rock am, yeah, yeah I know you senior me I get money pass your papa Wetin you want wey I no fit do for you? Why you wan dey...
Fally Ipupa - "Juste Une Danse" El Mara ! Elle est là, elle est là Dis-moi ma belle Dis-moi ma belle si tu es bien réelle (réelle) Jusqu'à présent faut dire qu'tu manquais à l'appel Désormais j'ai juré, je t'ai bien repéré Pardon...
Rema - "YAYO" P Anoti, anoti, anoti Forget, forget fugazi Land for Pinnock, cost me a Richard Millie That same week, I cop me a new car key All the gyal dem love oh, what a feeling I am shining, neck and my wrist...
Fally Ipupa - "Sweet Life" Na tongo tangu na lamukaka nga na ke mosala (Dodo) Na midi tangu na niokwamaka na mosala (yo dodo) Ata na pokwa tango na zongaka ndako, yo olali (yo dodo) Mais olingi osala fête lokola nga Hustling,...