"Nitarejea" lyrics
"Nitarejea"
Vipi mizigo umeshaweka tayari
Sijechelewa nkaachwa na gari
Basi jikaze usilie mpenzi
Mi nitarudi niombee kwa mwenyezi
Zile taabu na njaa msimu mzima mavuno hakuna
Huwa nakosa raha pale mkikosa cha kutafuna
Roho yangu inauma, sema ntafanya nini na pesa sina
Nakuonea na huruma, bora niende mjini kusaka tumaa
Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Wadanganye na vibagia, waambie pipi ntawaletea
Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Nawe usichoke kuvumilia, na kila siku kuniombea
Wanajua kwamba nafsi na roho vitakuwa na wasiwasi
Ukumbuke na moyo utajawa na simanzi
Ntakapokuwa nakwenda shambani afu niko peke yangu honey
Ntapokuja kuwa na majirani ntaumia aaah
Pale napotoka kisimani ama nipo na kuni kichwani
Sina wakunitua nyumbani ntaliaa
Maneno yako yananfanya nakosa raha na mawazo
Hata mwenzako sijawahi kufika dar huu ndo mwanzo
Vile nakwenda na sijui pa kukaaa wala mavazi ooh
We niombee niepushwe na balaa na maradhi ooh
Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Wadanganye na vibagia, waambie pipi ntawaletea
Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Nawe usichoke kuvumilia na kila siku kuniombea
Unapokwenda kama ukifika salama, utukumbuke na sisi
Usisahau kama mkeo na wana, umetuacha na dhiki
Vile usijali ila naomba chunga sana, ogopa na marafiki
Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama, waambie sidanganyiki
Unapokwenda kama ukifika salama, utukumbuke na sisi
Kumbuka mkeo na wana nyumbani, umetuacha na dhiki ooh
Vile usijali ila naomba chunga sana, ogopa na marafiki
Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama, waambie sidanganyiki
Ntarejea mama
Niombee nirude salama
Ohhh watoto wadanganye
Ihh, ohh
Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Wadanganye na vibagia, waambie pipi ntawaletea
Kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea
Nawe usichoke kuvumilia, na kila siku kuniombea
Writer(s): Diamond Platnumz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"Kamwambie" (2013)
You May Also Like
Darassa & Harmonize - "Mazoea" Uh, I'm tryna tell my friend this is different
Kama you got me end of the mission
They say, "stop playing, weh' Mzee
'You going insane?"
Unapewa nini, masikio
You don't listen
(Bomboclaaa-, yeah)...
Ayra Starr - "Bad Vibes" No dey throw bad vibes
Where the money dey, that is where I'm at
Anyhow e be, I dey play my part
Igi gogoro, ma gun mi l'oju, mi o fọ (Mystro Sugar)
I let the water touch my mink
Can't let these...
DARKOO - "Favourite Girl (Remix)" There's just me and this (Girl)
Hand on my heart, if I be honest (Girl)
She lose control when she feel horny (Girl)
The patrona got me down (Yeah)
You like this high life ting, my love
I love being...
DaVido - "FEEL" I be on the phone
Calling you tonight
I wan make you show me
Make we no dey fight
I no wan sleep alone
Wanna hold you tight
Water full my eyes
But I'll be alright
Forever
O ma latan (Aya)
O ma gba,...
Rema - "Woman" Another banger
I'm in love with plenty women
I no mind marry all of them
E no matter the shape or color
I go make sure say I must collect
I get one wey be my sponsor
I get one wey dey call me honey...