"Si Uko Tayari" lyrics
"Si Uko Tayari"
Mmh, mmh, mmh
Mmh, mmh hahieya
Mmh, mmh, mmh, mmh
Hadithi za mapenzi, zina safari safari safari za mbali
Visa na mambo mengi, vinatesa unajua ila mpenzi usijali
Na sumu ya mapenzi, inatesa moyo mchana, usiku silali
Sukari ya mapenzi, ishaganda moyoni zaidi ya tamu ya asali
Tazama uzuri wako, penzi langu usije shusha thamani
Thamani ya penzi lako, nitalitunza moyoni na kesho peponi
Tazama uzuri wako, penzi langu usije nishusha thamani
Thamani ya penzi lako, nitalilinda moyoni na kesho peponi
Dunia na mapenzi, vinatesa unajua sema mpenzi tafadhali
Usiku silali, ooh lalalaah
Ka uko tayari nikupeleke nyumbani
Japo sina pesa na nyumba gari, usijali
Nauliza uko tayari, nikupeleke nyumbani
Japo sina pesa na nyumba gari, usijali
Ona yupo niliompenda, kwa utenzi na nyimbo na zeze nilimwimbia
Akaniacha akaenda, na maradhi ya kupenda moyoni nikaugulia
Yupo niliompenda, kwa utenzi na nyimbo na zeze nilimwimbia
Akaniacha akaenda, na maradhi ya kupenda moyoni nikaugulia
Masikini penzi langu, sina pesa, mali na gari za kuringishia
Chondechonde roho yangu, na simanzi ya mapenzi moyoni nisije kulia
Masikini penzi langu, sina pesa, gari na mali za kuringishia
Chondechonde roho yangu, na simanzi ya mapenzi moyoni nisije kulia
Dunia ya mapenzi, vinatesa unajua sema mpenzi tafadhali
Maumivu ya mapenzi, yanatesa moyo mchana usiku silali
Nauliza uko tayari, nikupeleke nyumbani
Japo sina pesa na nyumba gari, usijali
Nauliza uko tayari, nikupeleke nyumbani
Japo sina pesa na nyumba gari, usijali
Oh oh eyah, mmh, mmh
Oh oh eyah, uko tayari
Oh oh eyah, usijali
Oh oh eyah, mmh, mmh
Oh oh eyah, uko tayari
Oh oh eyah, usijali
Writer(s): Diamond Platnumz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"Kamwambie" (2013)
You May Also Like
Big Zulu & Cassper Nyovest - "Induku Enhle" Hay' asibangene Stallion
Tanzania, Tanzania
Ghana mna, Ghana mna
Tanzania, Tanzania
Nigeria, Nigeria
Wena waw'kuphi
Ngiyoshela le emazweni?
Bathi induku enhle, igawula ezizweni
Wena waw'kuphi...
Asake - "Peace Be Unto You (PBUY)" Tune in to the king of sounds and blues
Ololademi Asake
Eh help me, help me, help me
Help me
Help me, help me, help me, help me
E dey carry me dey go where I no know
Padi mi hustle lo
Sho di gba ti...
Rayvanny - "Number One" Macho yalikuona, moyo ukakuchagua
Mdomo ukasema nakupenda aah
Mwambie umepona alokutesa moyo kuusumbua
Maumivu yamekwenda
Mi ni zawadi nilopewa
Macho nipepese wapi
Mi kipofu kwako sioni
Penzi...
King Promise - "Terminator" Killbeatz, let's go
Oh, ah-ah, oh-ah-nah, oh-ah, nana
Oh-ooh-oh
Oh, ah-ah, oh-ah-nah, oh-ah, ah-ah
Yeah
I'm at a point in life, if you understand me or not
Misunderstand me or not
Me, I'm okay, I'm...
Ayra Starr - "Bad Vibes" No dey throw bad vibes
Where the money dey, that is where I'm at
Anyhow e be, I dey play my part
Igi gogoro, ma gun mi l'oju, mi o fọ (Mystro Sugar)
I let the water touch my mink
Can't let these...