"Si Uko Tayari" lyrics

"Si Uko Tayari"

Mmh, mmh, mmh
Mmh, mmh hahieya
Mmh, mmh, mmh, mmh

Hadithi za mapenzi, zina safari safari safari za mbali
Visa na mambo mengi, vinatesa unajua ila mpenzi usijali
Na sumu ya mapenzi, inatesa moyo mchana, usiku silali
Sukari ya mapenzi, ishaganda moyoni zaidi ya tamu ya asali
Tazama uzuri wako, penzi langu usije shusha thamani
Thamani ya penzi lako, nitalitunza moyoni na kesho peponi
Tazama uzuri wako, penzi langu usije nishusha thamani
Thamani ya penzi lako, nitalilinda moyoni na kesho peponi
Dunia na mapenzi, vinatesa unajua sema mpenzi tafadhali
Usiku silali, ooh lalalaah

Ka uko tayari nikupeleke nyumbani
Japo sina pesa na nyumba gari, usijali
Nauliza uko tayari, nikupeleke nyumbani
Japo sina pesa na nyumba gari, usijali

Ona yupo niliompenda, kwa utenzi na nyimbo na zeze nilimwimbia
Akaniacha akaenda, na maradhi ya kupenda moyoni nikaugulia
Yupo niliompenda, kwa utenzi na nyimbo na zeze nilimwimbia
Akaniacha akaenda, na maradhi ya kupenda moyoni nikaugulia
Masikini penzi langu, sina pesa, mali na gari za kuringishia
Chondechonde roho yangu, na simanzi ya mapenzi moyoni nisije kulia
Masikini penzi langu, sina pesa, gari na mali za kuringishia
Chondechonde roho yangu, na simanzi ya mapenzi moyoni nisije kulia
Dunia ya mapenzi, vinatesa unajua sema mpenzi tafadhali
Maumivu ya mapenzi, yanatesa moyo mchana usiku silali

Nauliza uko tayari, nikupeleke nyumbani
Japo sina pesa na nyumba gari, usijali
Nauliza uko tayari, nikupeleke nyumbani
Japo sina pesa na nyumba gari, usijali

Oh oh eyah, mmh, mmh
Oh oh eyah, uko tayari
Oh oh eyah, usijali
Oh oh eyah, mmh, mmh
Oh oh eyah, uko tayari
Oh oh eyah, usijali


Writer(s): Diamond Platnumz
You May Also Like
Big Zulu & Cassper Nyovest - "Induku Enhle" Hay' asibangene Stallion Tanzania, Tanzania Ghana mna, Ghana mna Tanzania, Tanzania Nigeria, Nigeria Wena waw'kuphi Ngiyoshela le emazweni? Bathi induku enhle, igawula ezizweni Wena waw'kuphi...
Asake - "Peace Be Unto You (PBUY)" Tune in to the king of sounds and blues Ololademi Asake Eh help me, help me, help me Help me Help me, help me, help me, help me E dey carry me dey go where I no know Padi mi hustle lo Sho di gba ti...
Rayvanny - "Number One" Macho yalikuona, moyo ukakuchagua Mdomo ukasema nakupenda aah Mwambie umepona alokutesa moyo kuusumbua Maumivu yamekwenda Mi ni zawadi nilopewa Macho nipepese wapi Mi kipofu kwako sioni Penzi...
King Promise - "Terminator" Killbeatz, let's go Oh, ah-ah, oh-ah-nah, oh-ah, nana Oh-ooh-oh Oh, ah-ah, oh-ah-nah, oh-ah, ah-ah Yeah I'm at a point in life, if you understand me or not Misunderstand me or not Me, I'm okay, I'm...
Ayra Starr - "Bad Vibes" No dey throw bad vibes Where the money dey, that is where I'm at Anyhow e be, I dey play my part Igi gogoro, ma gun mi l'oju, mi o fọ (Mystro Sugar) I let the water touch my mink Can't let these...